ABOUT RAMA DEE:: Ni mwanamusiki wa R&B ya kisasa kutoka nchini Tanzania, Amekuwa kwenye fani hii kwa muda mrefu sasa naweza kusema ni moja kati ya Magwiji wa musiki huu Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla, Ukiacha watu kama MR PAUL, TID. Ana Albamu moja sokoni inayokwenda kwa jina KUTOKA MOYONI yenye nyimbo kama SARA, USIJALI, Albamu yake ya kwanza ilitoka mwaka 2008. Na ililfanya vizuri katika mauzo Hapa nchini kwetu Tanzania.
Thursday, November 18, 2010
Usijali Lyrics
Niamini mpenzi mimi
Usiwe na wasiwasi mwingi
Nyumbani tegemeo haswa vikao vya Family
Usipo niamini jua hatujengi mapenzi
Bridge
Kola usijiumize moyo
Kola nipo na wewe
Naona hujiamini wewe
Mbona uko mwenyewe
Chorus
Niko nyumbani usijali mpenzi
Nina kikao cha family wivu usiwe mwingi x2
Verse 2
Leo hii mimi sipo mbali wivu unazidi yako hali
Jemimi nikiwa mbali siutafunga vilago uende mbali
Mbona mimi uniamini?
Mbona hivi kwani ni nini?
Bridge
Kola usijiumize moyo
Kola nipo na wewe
Naona ujiamini wewe
Mbona uko mwenyewe
Repeat Chorus
Breakdown
Haa.. ha.. haaaa..
Come on
Haaaa haaa haaaa
Usijali
Repeat Chorus
Usiwe na wasiwasi mwingi
Nyumbani tegemeo haswa vikao vya Family
Usipo niamini jua hatujengi mapenzi
Bridge
Kola usijiumize moyo
Kola nipo na wewe
Naona hujiamini wewe
Mbona uko mwenyewe
Chorus
Niko nyumbani usijali mpenzi
Nina kikao cha family wivu usiwe mwingi x2
Verse 2
Leo hii mimi sipo mbali wivu unazidi yako hali
Jemimi nikiwa mbali siutafunga vilago uende mbali
Mbona mimi uniamini?
Mbona hivi kwani ni nini?
Bridge
Kola usijiumize moyo
Kola nipo na wewe
Naona ujiamini wewe
Mbona uko mwenyewe
Repeat Chorus
Breakdown
Haa.. ha.. haaaa..
Come on
Haaaa haaa haaaa
Usijali
Repeat Chorus
*********
RAMA DEE-USIJAL
Si waoaji Lyrics
Verse
Husithubutu kuwapa hawa penzi
washusha trouser nyuma Dada
Husithubutu kuwapa hata chance wabana pua kwa track za njaa
Hawana Plan B, Ni watu wasiojali maumivu yako wewe yako vipi
Mchana wanalala Ndani, Usiku wanawaza Kula bata na Mababy Flani.
Hata hawajali hali nyumbani
Kula bata na wake za watu hata hawajali hofu ya Mungu
Bridge
Husiwakabidhi moyo wako ukaishi bila Amani
Husiwakabidhi penzi lako ukaishi bila Amani
Chorus
Sio waowaji hao x 2(ooohh)
Verse 2
Ukimaliza kusuka rudi ndani usubiri wakati Ufikie
Maana MA GUCCI Town yalivyomengi
Usisubiri sumu ikuingie eeh
Walamba lips na slang za A-TOWN
PROMICE za shopping zilivyokwenye chati Mchana wanalala Ndani, Usiku wanawaza Kula bata na Mababy Flani.
Hata hawajali hali nyumbani
Kula bata na wake za watu hata hawajali hofu ya Mungu
Bridge
Husiwakabidhi moyo wako ukaishi bila Amani
Husiwakabidhi penzi lako ukaishi bila Amani
Chorus
Sio waowaji hao x 2(ooohh)
Break down
Sister sister wanajiita maplay boy
Kuwa na ustahamilivu
Author-Rama dee
XXXXXXXXXXXXXXXXXX
Make up Lyrics
Verse 1
Nilipomwona kwenye TV nilimwona mzuri Anafaa kuwa na mimi
Nilipomwona kwenye magazine alikuwa ni mweupe na mwenye kujiamini
Face to Face kwenda kukutana nae nikajua si yeye maana si kivile
Face to Face kwenda kuonana nae nikamwona tofauti kama si yeye
Ikawa ni ngumu kusemaa mwisho wa siku akanuna girl
Ikawa ni ngumu kusemaa mwisho wa siku akanuna girl
Chorus
Kumbe ni make up tu
Ni make up tu
Kumbe ni make up tu
Ni make up tu
Kumbe ni make up tu
Ni make up tu
Verse 2
Nilipagawa na wigi Lips rangi ya penzi (heey)
Nikajiweke mi frontline kwa jinsi alivyofake(heey)
Mascara mapowder alivyotoka utatamani ushushe trouser
Mascara mapowder alivyotoka utatamani ashushe trouser
Kumbe hakufanana na vile nilivyomuona mbali
Kumbe hakufanana sikujua kama ni……..make up tu
Chorus(Pipi n Rama dee)
Kumbe ni make up tu
Ni make up tu
Kumbe ni make up tu
Ni make up tu
Kumbe ni make up tu
Ni make up tu
Brigde
Ooh ooh
Hizo ni make up na siooo
Husidanganywe na kioo
Ooh ooh
Hizo ni make up na siooo
Husidanganywe na kioo
G-Nako Verse
Oooh nooo
Lazima hujijaze kichwa kichwa ..Kiboya unashikwa masikio kabisa
Kifua kimepigwa jerk makalio fake toka china straight(ooh no)
You don’t attract me anymore
Girl am super nataka kukufikisha kwenye u star utamake up bila hata hizo make up.. wake up fuul
What the ache is wrong with you uuh
Umepoteza ladha uuh
Umepoteza ladha yaaah
(pipi)
Ooooh
ni make up tu
(rama dee)
Husidanganywe na kioo
Brigde
Ulinifanya nikuweke moyoni chance ni kupatie kwa kunizuga na make up
Ukaniambie niwaite ndugu zangu waje wakuone kumbe demu ni scraper
Kumbe we ni make up tu…..
Chorus(Pipi n Rama dee)
Kumbe ni make up tu
Ni make up tu
Kumbe ni make up tu
Ni make up tu
Kumbe ni make up tu
Ni make up tu
Subscribe to:
Posts (Atom)